Wachezaji Wanaongoza kwa Asisti NBC 2025/26

Updated on: Monday, February 9, 2026 at 02:05 PM

Wachezaji Wanaongoza kwa Asisti NBC 2025/26

Hadi kufikia sasa, wachezaji 30 walio na idadi kubwa ya asisti ni hawa wafuatao:

# Mchezaji Timu Utaifa Asisti
1. Duke Abuya Young Africans Kenya 4
2. Andrew Raymond Chamungu Namungo Tanzania 3
3. Elie Mpanzu Simba DR Congo 3
4. Anuar Kilemile JKT Tanzania Tanzania 2
5. Ibrahim Imoro Mtibwa Sugar Ghana 2
6. Feisal Salum Azam Tanzania 2
7. Maxi Nzengeli Young Africans DR Congo 2
8. Mathew Tegisi Pamba Jiji Kenya 2
9. Pacome Zouzoua Young Africans Ivory Coast 2
10. Shomari Kapombe Simba Tanzania 2
11. Abdi Banda Dodoma Jiji Tanzania 2
12. Juma Liuzio Mtibwa Sugar Tanzania 2
13. Nelson Munganga Dodoma Jiji DR Congo 2
14. Nassor Saadun Azam Tanzania 2
15. Joseph Akandwanaho TRA United Uganda 2
16. Hassan Kibailo Pamba Jiji Tanzania 2
17. Paul Peter JKT Tanzania Tanzania 2
18. Baraka Filemon Mbeya City Tanzania 2
19. Karimu Mfaume JKT Tanzania Tanzania 1
20. Castor Mwangabo KMC Tanzania 1
21. Hassan Wahabi JKT Tanzania Tanzania 1
22. Dickson Job Young Africans Tanzania 1
23. Salmin Hoza Dodoma Jiji Tanzania 1
24. Baraka Mtuwi Mashujaa Tanzania 1
25. Joshua Mutale Simba Zambia 1
26. Najim Mussa Pamba Jiji Tanzania 1
27. Horso Muaku Singida BS DR Congo 1
28. Abdul Suleiman Azam Tanzania 1
29. Jean Ahoua Simba Ivory Coast 1
30. Shassir Nahimana Pamba Jiji Burundi 1

Orodha hii inasasishwa mara kwa mara kulingana na mechi za kila wiki.

Ona pia





Mr. Paul P.K - Mkeka wa Leo
Mr. Paul P.K

Mchambuzi wa michezo na Tipster Mkuu wa Mkeka wa Leo , mwenye zaidi ya miaka 8 ya uzoefu katika kutoa betting tips sahihi na zenye takwimu kwa mashabiki wa mpira Tanzania.

Paul huchambua mechi kutoka Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Premier League, La Liga, Serie A na ligi zingine kubwa za ulaya kwa kutumia data, form ya timu, na odds zenye thamani ili kuhakikisha mikeka yenye nafasi kubwa ya ushindi.


Mikeka ya Leo na Makala