Wafungaji Bora NBC Premier League 2025/26. Je, Nani Atamaliza Msimu Kinara wa Magoli?
Tanzania Premier League
Hadi sasa, Paul Peter wa JKT Tanzania na Saleh Karabaka wa JKT Tanzania wanaongoza kwa mabao Ligi Kuu Bara. Paul Peter akiwa na mabao 5 na Saleh Karabaka akiwa na mabao 4. Swali ni moja, je, nani atakuwa mfungaji bora wa msimu huu wa NBC Premier League?
Orodha ya Wafungaji Bora (Top Goal Scorers) NBC 2025/26
Hadi hivi sasa, wachezaji wafuatao wameonyesha umahiri mkubwa wa kufumania nyavu. Hapa chini ni orodha ya wafungaji bora 30 Ligi Kuu Tanzania Bara:
| # | Mchezaji | Timu | Utaifa | Magoli |
|---|---|---|---|---|
| 1. | Paul Peter | JKT Tanzania | Tanzania | 5 |
| 2. | Saleh Karabaka | JKT Tanzania | Tanzania | 4 |
| 3. | Jonathan Sowah | Simba | Ghana | 3 |
| 4. | Peter Lwasa | Pamba Jiji | Uganda | 3 |
| 5. | Fabrice Wa Ngoy | Namungo | DR Congo | 3 |
| 6. | Feisal Salum | Azam | Tanzania | 2 |
| 7. | Maxi Nzengeli | Young Africans | DR Congo | 2 |
| 8. | Maabad Maulid | Coastal Union | Tanzania | 2 |
| 9. | ANDY BOYELI | Young Africans | DR Congo | 2 |
| 10. | Mathew Tegisi | Pamba Jiji | Kenya | 2 |
| 11. | Pacome Zouzoua | Young Africans | Ivory Coast | 2 |
| 12. | Athuman Makambo | Coastal Union | Tanzania | 2 |
| 13. | Darueshi Saliboko | KMC | Tanzania | 2 |
| 14. | Iddy Selemani | Azam | Tanzania | 2 |
| 15. | Clatous Chama | Singida BS | Zambia | 2 |
| 16. | Mundhir Vuai | Mashujaa | Tanzania | 2 |
| 17. | Vitalisy Mayanga | Mbeya City | Tanzania | 2 |
| 18. | Rushine De Reuck | Simba | South Africa | 2 |
| 19. | Prince Dube | Young Africans | Zimbabwe | 2 |
| 20. | Matheo Antony | Mbeya City | Tanzania | 2 |
| 21. | Fode Konate | TRA United | Mali | 1 |
| 22. | Karaboue Chamou | Simba | Ivory Coast | 1 |
| 23. | Ali Salehe | Namungo | Tanzania | 1 |
| 24. | Idrisa Stambuli | Mashujaa | Tanzania | 1 |
| 25. | Baraka Mtuwi | Mashujaa | Tanzania | 1 |
| 26. | Habib Kyombo | Mbeya City | Tanzania | 1 |
| 27. | Chukwunonye Obasi | Fountain Gate | Nigeria | 1 |
| 28. | Adam Adam | TRA United | Tanzania | 1 |
| 29. | Lassine Kouma | Young Africans | Mali | 1 |
| 30. | Cleophace Mkandala | Coastal Union | Tanzania | 1 |
Mr. Paul P.K
Mchambuzi wa michezo na Tipster Mkuu wa Mkeka wa Leo , mwenye zaidi ya miaka 8 ya uzoefu katika kutoa betting tips sahihi na zenye takwimu kwa mashabiki wa mpira Tanzania.
Paul huchambua mechi kutoka Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Premier League, La Liga, Serie A na ligi zingine kubwa za ulaya kwa kutumia data, form ya timu, na odds zenye thamani ili kuhakikisha mikeka yenye nafasi kubwa ya ushindi.