Wafungaji Bora NBC Premier League 2025/26. Je, Nani Atamaliza Msimu Kinara wa Magoli?
Tanzania Premier League
Hadi sasa, Saleh Karabaka wa JKT Tanzania na Fabrice Wa Ngoy wa Namungo wanaongoza kwa mabao Ligi Kuu Bara. Saleh Karabaka akiwa na mabao 6 na Fabrice Wa Ngoy akiwa na mabao 6. Swali ni moja, je, nani atakuwa mfungaji bora wa msimu huu wa NBC Premier League?
Orodha ya Wafungaji Bora (Top Goal Scorers) NBC 2025/26
Hadi hivi sasa, wachezaji wafuatao wameonyesha umahiri mkubwa wa kufumania nyavu. Hapa chini ni orodha ya wafungaji bora 30 Ligi Kuu Tanzania Bara:
| # | Mchezaji | Timu | Utaifa | Magoli |
|---|---|---|---|---|
| 1. | Saleh Karabaka | JKT Tanzania | Tanzania | 6 |
| 2. | Fabrice Wa Ngoy | Namungo | DR Congo | 6 |
| 3. | Paul Peter | JKT Tanzania | Tanzania | 5 |
| 4. | William Edgar | Dodoma Jiji | Tanzania | 4 |
| 5. | Prince Dube | Young Africans | Zimbabwe | 4 |
| 6. | Jonathan Sowah | Simba | Ghana | 3 |
| 7. | Feisal Salum | Azam | Tanzania | 3 |
| 8. | Mathew Tegisi | Pamba Jiji | Kenya | 3 |
| 9. | Pacome Zouzoua | Young Africans | Ivory Coast | 3 |
| 10. | Darueshi Saliboko | KMC | Tanzania | 3 |
| 11. | Iddy Selemani | Azam | Tanzania | 3 |
| 12. | Peter Lwasa | Pamba Jiji | Uganda | 3 |
| 13. | Laurindo Dilson Depu | Young Africans | ang | 3 |
| 14. | Maxi Nzengeli | Young Africans | DR Congo | 2 |
| 15. | Valentino Mashaka | JKT Tanzania | Tanzania | 2 |
| 16. | ANDY BOYELI | Young Africans | DR Congo | 2 |
| 17. | Maabad Maulid | Coastal Union | Tanzania | 2 |
| 18. | Yasini Mgaza | Dodoma Jiji | Tanzania | 2 |
| 19. | Athuman Makambo | Coastal Union | Tanzania | 2 |
| 20. | Cyprian Kipenye | Namungo | Tanzania | 2 |
| 21. | Shassir Nahimana | Pamba Jiji | Burundi | 2 |
| 22. | Eliud Ambokile | Mbeya City | Tanzania | 2 |
| 23. | Ismail Mhesa | Mtibwa Sugar | Tanzania | 2 |
| 24. | Mundhir Vuai | Mashujaa | Tanzania | 2 |
| 25. | Clatous Chama | Simba | Zambia | 2 |
| 26. | Magata Charles | Mtibwa Sugar | Tanzania | 2 |
| 27. | Iddi Kipagwile | Dodoma Jiji | Tanzania | 2 |
| 28. | Vitalisy Mayanga | Mbeya City | Tanzania | 2 |
| 29. | Rushine De Reuck | Simba | South Africa | 2 |
| 30. | Kelvin Nashon | Pamba Jiji | Tanzania | 2 |
Mr. Paul P.K
Mchambuzi wa michezo na Tipster Mkuu wa Mkeka wa Leo , mwenye zaidi ya miaka 8 ya uzoefu katika kutoa betting tips sahihi na zenye takwimu kwa mashabiki wa mpira Tanzania.
Paul huchambua mechi kutoka Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Premier League, La Liga, Serie A na ligi zingine kubwa za ulaya kwa kutumia data, form ya timu, na odds zenye thamani ili kuhakikisha mikeka yenye nafasi kubwa ya ushindi.