Wafungaji Bora NBC Premier League 2025/26. Je, Nani Atamaliza Msimu Kinara wa Magoli?

Updated on: Wednesday, April 8, 2026 at 07:05 PM

Tanzania Premier League

Hadi sasa, Fabrice Wa Ngoy wa Namungo na Feisal Salum wa Azam wanaongoza kwa mabao Ligi Kuu Bara. Fabrice Wa Ngoy akiwa na mabao 8 na Feisal Salum akiwa na mabao 7. Swali ni moja, je, nani atakuwa mfungaji bora wa msimu huu wa NBC Premier League?

Orodha ya Wafungaji Bora (Top Goal Scorers) NBC 2025/26

Hadi hivi sasa, wachezaji wafuatao wameonyesha umahiri mkubwa wa kufumania nyavu. Hapa chini ni orodha ya wafungaji bora 30 Ligi Kuu Tanzania Bara:

# Mchezaji Timu Utaifa Magoli
1. Fabrice Wa Ngoy Namungo DR Congo 8
2. Feisal Salum Azam Tanzania 7
3. Saleh Karabaka JKT Tanzania Tanzania 7
4. Mudathir Yahya Young Africans Tanzania 7
5. Prince Dube Young Africans Zimbabwe 6
6. Laurindo Dilson Depu Young Africans Angola 6
7. Selemani Mwalimu Simba Tanzania 6
8. Pacome Zouzoua Young Africans Ivory Coast 5
9. Iddy Selemani Azam Tanzania 5
10. William Edgar Dodoma Jiji Tanzania 5
11. Paul Peter JKT Tanzania Tanzania 5
12. Mathew Tegisi Pamba Jiji Kenya 4
13. Valentino Mashaka JKT Tanzania Tanzania 4
14. Jean Ngita Azam DR Congo 4
15. George Mpole Tanzania Prisons Tanzania 4
16. Jonathan Sowah Simba Ghana 3
17. Ibrahim Imoro Singida BS Ghana 3
18. Maxi Nzengeli Young Africans DR Congo 3
19. Cleophace Mkandala Coastal Union Tanzania 3
20. Yasini Mgaza Dodoma Jiji Tanzania 3
21. Darueshi Saliboko KMC Tanzania 3
22. Cyprian Kipenye Namungo Tanzania 3
23. Ismail Mhesa Mtibwa Sugar Tanzania 3
24. Peter Lwasa Pamba Jiji Uganda 3
25. Magata Charles Mtibwa Sugar Tanzania 3
26. Iddi Kipagwile Dodoma Jiji Tanzania 3
27. Vitalisy Mayanga Mbeya City Tanzania 3
28. Rushine De Reuck Simba South Africa 3
29. Shiza Kichuya Coastal Union Tanzania 3
30. Adilly Buha Mbeya City Tanzania 3

Orodha hii inasasishwa mara kwa mara kulingana na mechi za kila wiki.

Ona pia





Mr. Paul P.K - Mkeka wa Leo
Mr. Paul P.K

Mchambuzi wa michezo na Tipster Mkuu wa Mkeka wa Leo , mwenye zaidi ya miaka 8 ya uzoefu katika kutoa betting tips sahihi na zenye takwimu kwa mashabiki wa mpira Tanzania.

Paul huchambua mechi kutoka Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Premier League, La Liga, Serie A na ligi zingine kubwa za ulaya kwa kutumia data, form ya timu, na odds zenye thamani ili kuhakikisha mikeka yenye nafasi kubwa ya ushindi.


Mikeka ya Leo na Makala