Wafungaji Bora Ligi Kuu ya Uhispania 2025/2026. Je, Nani Atamaliza Msimu Kinara wa Magoli?
Hadi sasa, Kylian Mbappé wa Real Madrid na J. Álvarez wa Atletico Madrid wanaongoza kwa magoli Ligi Kuu ya Uhispania msimu huu. Kylian Mbappé akiwa na magoli 9 na J. Álvarez akiwa na magoli 6.
# | Mchezaji | Timu | Magoli | Penati |
---|---|---|---|---|
1. | Kylian Mbappé | Real Madrid | 9 | 2 |
2. | J. Álvarez | Atletico Madrid | 6 | 1 |
3. | Vinícius Júnior | Real Madrid | 5 | 1 |
4. | Ferran Torres | Barcelona | 4 | - |
5. | C. Hernández | Real Betis | 4 | - |
6. | Etta Eyong | Levante | 4 | - |
7. | Iván Romero | Levante | 4 | - |
8. | R. Lewandowski | Barcelona | 4 | - |
9. | André Silva | Elche | 4 | - |
10. | Pere Milla | Espanyol | 4 | - |
11. | Borja Iglesias | Celta Vigo | 4 | 1 |
12. | V. Muriqi | Mallorca | 4 | 1 |
13. | A. Güler | Real Madrid | 3 | - |
14. | Raphinha | Barcelona | 3 | - |
15. | A. Danjuma | Valencia | 3 | - |
16. | Hugo Duro | Valencia | 3 | - |
17. | Rafa Mir | Elche | 3 | - |
18. | T. Buchanan | Villarreal | 3 | - |
19. | Isaac | Sevilla | 3 | - |

Mr. Paul P.K
Mchambuzi wa michezo na Tipster Mkuu wa Mkeka wa Leo , mwenye zaidi ya miaka 8 ya uzoefu katika kutoa betting tips sahihi na zenye takwimu kwa mashabiki wa mpira Tanzania.
Paul huchambua mechi kutoka Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Premier League, La Liga, Serie A na ligi zingine kubwa za ulaya kwa kutumia data, form ya timu, na odds zenye thamani ili kuhakikisha mikeka yenye nafasi kubwa ya ushindi.