Wafungaji Bora Club Bingwa Afrika 2025/2026. Je, Nani Atamaliza Msimu Kinara wa Magoli?
Hadi sasa, F. Mayele wa Pyramids FC na Y. Belaïli wa ES Tunis wanaongoza kwa magoli Club Bingwa Afrika msimu huu. F. Mayele akiwa na magoli 8 na Y. Belaïli akiwa na magoli 7.
# | Mchezaji | Timu | Magoli | Penati |
---|---|---|---|---|
1. | F. Mayele | Pyramids FC | 8 | - |
2. | Y. Belaïli | ES Tunis | 7 | - |
3. | Ibrahim Adel | Pyramids FC | 6 | - |
4. | R. Mofokeng | Orlando Pirates | 5 | - |
5. | Emam Ashour | Al Ahly | 5 | - |
6. | M. Nkota | Orlando Pirates | 4 | - |
7. | W. Abou Ali | Al Ahly | 4 | - |
8. | Mohamed Abdelrahman | Al Hilal Omdurman | 4 | - |
9. | S. Ki | Young Africans | 4 | - |
10. | A. Mahious | CR Belouizdad | 4 | - |
11. | E. Mokwana | ES Tunis | 3 | - |
12. | S. Bayazid | MC Alger | 3 | - |
13. | P. Shalulile | Mamelodi Sundowns | 3 | - |
14. | J. Girumugisha | Al Hilal Omdurman | 3 | - |
15. | Hussein El Shahat | Al Ahly | 3 | - |
16. | J. Beya | FAR Rabat | 3 | - |
17. | I. Rayners | Mamelodi Sundowns | 3 | - |
18. | Yan Sasse | ES Tunis | 3 | - |
19. | P. Tau | Al Ahly | 3 | - |
20. | C. Mzize | Young Africans | 3 | - |

Mr. Paul P.K
Mchambuzi wa michezo na Tipster Mkuu wa Mkeka wa Leo , mwenye zaidi ya miaka 8 ya uzoefu katika kutoa betting tips sahihi na zenye takwimu kwa mashabiki wa mpira Tanzania.
Paul huchambua mechi kutoka Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Premier League, La Liga, Serie A na ligi zingine kubwa za ulaya kwa kutumia data, form ya timu, na odds zenye thamani ili kuhakikisha mikeka yenye nafasi kubwa ya ushindi.